Katika ligi ya Ubelgiji Mtanzani Mbwana Samata alifunga mara mbili na kuisaidia klabu yake ya Krc Genk kuibuka kidedea kwa ushindi wa mabao 5 kwa 3 dhidi ya klabu ya Royal Antwerp.
Kule Ligue One Monaco walikuwa uwanjani dhidi ya Dijon na mshambuliaji wao Radamel Falcao akifunga hatrick katika ushindi wa mabao manne kwa moja, bao lingine la Monaco lilifungwa na Jemerson huku lile la Dijon likifungwa na Wesley Said.
0 comments:
POST A COMMENT