Mwanariadha mtanzania Felix Simbu amerudi kwenye headlines akiwa London katika mbio za marathon baada ya kumaliza nafasi ya tatu kwa kukimbia saa 2, dakika 9 na sekunde 57 wakati mkenya Godfrey Kirui kamaliza nafasi ya kwanza nafasi ya pili ikienda Ethiopia.
List ya washindi tisa waliyoongoza mbio za marathon London
Mtanzania Alphonce Simbu amepata ushindi wa nafasi ya 3 kwenye mbio ndefu za marathon ktk mashindano ya riadha ya dunia London Uingereza. pic.twitter.com/0OWqXHyZ17
0 comments:
POST A COMMENT