>>>”Bodi ya Ligi ilikutana na club wiki iliyopita na ilipokutana na club kuna mapendekezo ya kanuni za Ligi Kuu Tanzania kwa haraka haraka kanuni zilizoguswa zaidi ni kanuni ya 18 inayohusu Bima kwa wachezaji, kila club inatakiwa kuwawekea Bima wachezaji wake la sivyo hawawezi kupata leseni.” – Alfred Lucas.
Monday, July 31, 2017
ZIJUE KANUNI MPYA ZA TFF ZILIZOFANYIWA MAREKEBISHO NA BODI YA LIGI JE TIMU YAKO ITAZIMUDU
- Next SINGANO APAGAWISHA WAARABU, KONA ZOTE GUMZO
- Previous ALICHOAMBIWA MSUVA NA KOCHA WAKE KABLA YA KUINGIA UWANJANI NA KUFUNGA GOLI MECHI YAKE YA KWANZA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
POST A COMMENT