MABERYNEWSMEDIA: July 2017
Breaking News
Loading...

Monday, July 31, 2017

YANGA YASEMA BADO HAIJAFUNGA USAJILI NA WANATEGEMEA KUMALIZANA ME KIUNGO HUYU MUDA WOWOTE

Klabu ya Yanga kupitia mmwenyekiti wa Usajili imethibitisha kwamba bado hawajamaliza zoezi la usajili wa ndani na akisisitiza bado kuna bomu lingine linakuja kutoka Dar es Salaam. Inasemekana bomu hilo ni kutoka Azam Fc ambapo uongozi wa Yanga upo mbioni kukamilisha usajili wa kiungo wa Timu ya Taifa na Klabu ya Azam Himid Mao Mkami ambae mkataba wake na Azam Fc unaelekea ukingoni. Yanga wanataka kuimarisha safu yao ya eneo la kiungo licha ya kumsajili Raphael Daud na Kabamba Tshishimbi lakini wanamtaka pia Himid Mao anaemudu kucheza eneo la kiungo mshambuliaji na mkabaji pia. Taarifa za awali ambazo SokaOnline limezinasa...

FILAMU YA NEYMAR KUONDOKA BARCELONA YAZIDI KUNOGA

BURUDANI Imeelezwa ndani ya saa 48 kwa asilimia 80 inaonekana Neymar atakuwa mchezaji wa PSG ya Ufaransa. Taarifa zinaeleza, Barcelona iko katika nafasi ya kumuachia Neymar ili kuepuka kumlipa baba mzazi wa mchezaji huyo, Neymar Sernior kitita cha euro milioni 26. Katika mkataba alioingia na Barcelona akitokea Santos ya kwao Brazil, unaeleza kuwa kama akiongeza mkataba mpya na...

MBAPPE AJIVUNGA KUHUSU MADRID

KANDO MAMBO  Pamoja na taarifa kwamba anakwenda Real Madrid kwa day la pauni million 160, Kylian Mbappe ameonyesha kuwa bize na maisha yake ya kawaida. Mbappe ameonekana akiwa ni mwenye furaha kwenye mazoezi ya kikosi cha Monaco ambacho kimeanza maandalizi ya msimu mpya. Kianchoonekana kuwavutia wengi kwa Mbappe, amekuwa si mwenye presha kubwa na uhamisho wake kwenda Madrid...

MAGAZETI YA JUMSNNE AUGUST 1

MAGAZETI ...

THOMAS ULIMWENGU HALI BADO TETE AFANYIWA UPASUAJI

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayecheza soka la kulipwa katika club ya AFC Eskilstuna ya Sweden Thomas Ulimwengu amefanyiwa upasuaji wa goti. Thomas Ulimwengu ambaye amekuwa hafanyi vizuri wakati huu kutokana na kusumbuliwa na goti kiasi cha kuhatarisha uwezo wake uwanjani, amefanyiwa upasuaji tayari na kesho anaanza mazoezi ya kutembea. Ulimwengu kupitia instagram accountvyake...

SINGANO APAGAWISHA WAARABU, KONA ZOTE GUMZO

MICHEZO Kiungo kinda wa pembeni wa Difaa Al Jadid ya Morocco, Ramadhani Singano Messi ameonyesha kuwa kivutio baada ya mechi yake ya kwanza ya kirafiki akiitumikia klabu hiyo. Mechi hiyo Difaa Al Jadid ilipoteza kwa mabao 2-1 huku Mtanzania mwingine, Simon Msuva akifunga bao la kufutia machozi. Lakini wachambuzi kadhaa wa soka wameonyesha kuvutiwa na Singano ambayo alicheza kwa...

ZIJUE KANUNI MPYA ZA TFF ZILIZOFANYIWA MAREKEBISHO NA BODI YA LIGI JE TIMU YAKO ITAZIMUDU

Tukiwa tunaelekea kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania bara msimu wa 2017/18 Shirikisho la soka Tanzania TFF kupitia kamati ya Bodi ya Ligi leo afisa habari wa TFF Alfred Lucasametangaza mabadiliko ya kanuni nane ambazo zimefanyiwa mabadiliko baada ya kamati ya Bodi ya Ligi kukutana na viongozi wa vilabu. >>>”Bodi ya Ligi ilikutana na club wiki iliyopita na ilipokutana na club kuna mapendekezo ya kanuni za Ligi Kuu Tanzania kwa haraka haraka kanuni zilizoguswa zaidi ni kanuni ya 18 inayohusu Bima kwa wachezaji, kila club inatakiwa kuwawekea Bima wachezaji wake la sivyo hawawezi kupata...

ALICHOAMBIWA MSUVA NA KOCHA WAKE KABLA YA KUINGIA UWANJANI NA KUFUNGA GOLI MECHI YAKE YA KWANZA

Winga mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Simon Msuva aliyekuwa anaichezea Yanga, Jumapili ya July 30 ikiwa ni siku nne zimepita toka asaini mkataba na timu ya Difaa El Jadid ya Morocco, ambapo ni mafanikio kutoka kucheza Tanzania nchi iliyopo nafasi ya 114 katika viwango vya FIFA anakwenda kucheza nchi iliyopo nafasi...

George Weah kuwania urais Liberia Oktoba

Sambaza habari hii Facebook   Sambaza habari hii Twitter   Mshirikishe mwenzako Haki miliki ya pichaAFPImage captionGeorge Weah aliwania urais mara ya kwanza 2005 Baada ya kuongoza kwa mwongo mmoja kama rais wa Liberia, Ellen Johnson Sirleaf, atastaafu baada ya uchaguzi mkuu nchini humo mwezi Oktoba. Orodha kamili ya wanaowania kumrithi mshindi huyo wa Tuzo ya Amani ya...

MATIC KATUA MAN UNITED FELLAIN JE?

Hii leo Manchester United wamekamilisha usajili wao wa tatu baada ya kumnunua kiungo Nemanja Matic kutoka Chelsea usajili ambao umekuwa ukitajwa kwa muda mrefu sana. Mourinho amekuwa akimhitaji Matic kwa muda sasa na kiasi cha £39.7m kimetosha kumsaini Matic na kumpa mkataba wa miaka mitatu huku kukiwa na kipengele cha kuongeza mwaka mmoja hapo baadaye. Usajili wa Matic aliyepewa...

HATIMAE BUSUNGU NAE APATA TIMU MPYA

Baada ya kumnasa Ditram Nchimbi kutoka Mbeya City ili kuimarisha safu yake ya ushambulizi, Lipuli ya Iringa imemnasa Malimi Busungu. Busungu amejiunga na Lipuli kwa mkataba wa mwaka mmoja. Mshambuliaji huyo alikuwa hatari wakati akiwa Mgambo FC ya Tanga hadi alipojiunga Yanga. Msimu wa kwanza akiwa Yanga alionyesha cheche lakini kuanzia katikati mambo yalibadilika...

LIPULI YANASA KIUNGO WA ZAMANI WA YANGA

Lipuli ya Iringa imemsajili kiungo wa zamani wa Yanga, Omega Seme. Seme aliwahi kuichezea Yanga kabla ya kutua Ndanda FC ya Mtwara. Leo amekamilisha usajili wake wa mwaka mmoja kuichezea Lipuli ya Iringa. ...
BAADA YA SINTOFAHAMU YA MUDA MREFU HATIMAE SIMBA YATANGAZA RASMI KUMSAJILI AISHI MANULA SIMBA SPORTS CLUB  DAR ES SALAAM 31-7-2017                         TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI __________________  Golikipa wa kimataifa wa Tanzania Aishi Salum Manula kesho tarehe moja,anatarajiwa kujiunga rasimi...